Nahitaji mtu wa kufua na kufanya usafi wa nyumba

January 12, 2026
12pm - 4pm

Nahitaji mtu wa kufua na kufanya usafi wa nyumba location magomeni. Vyumba viwili na nguo Tenga Moja budget elfu 20000

Offers

RAINOLD M.

Naweza kufanya hiyo kazi

Yasiin Z.

Lets do

Kelvin J.

Nafua na kuzipiga pasi nguo, kupiga deki vyumba vyote viwili na kuweka vitu kwenye mpangilio

Sign In

Register

Reset Password

Please enter your username or email address, you will receive a link to create a new password via email.